CLOUDSMEDIA
CLOUDSMEDIA
  • Видео 16 845
  • Просмотров 175 249 150

Видео

PRETTY KIND KUTOKA KUJIUZA, KUPIGA PICHA ZA NUSU UTUPU, MPAKA KUWA MTUMISHI | WATEJA WA ZAMANI...
Просмотров 8802 часа назад
Kutokana na maisha yake na mengi aliyoyapitia @official_prettykind anatoa ushuhuda wa maisha yake. Nimejiuza, nimepiga picha chafu, nimeimba na kina Giggy Money....
KIJANA MPYA KWENYE GAME ALIYEPANGA KUJA KULITEKA SOKO LA BONGOFLEVA, NAFANYA KILA KITU
Просмотров 3384 часа назад
KIJANA MPYA KWENYE GAME ALIYEPANGA KUJA KULITEKA SOKO LA BONGOFLEVA, NAFANYA KILA KITU
MASOUD KIPANYA, MWIJAKU KUFIKISHANA MAHAKAMANI, ''AMLIPE BILION SITA'', HAYA NDIO MAKOSA YAKE
Просмотров 29 тыс.4 часа назад
MASOUD KIPANYA, MWIJAKU KUFIKISHANA MAHAKAMANI, ''AMLIPE BILION SITA'', HAYA NDIO MAKOSA YAKE
AY asimulia ambavyo alimtabiria makubwa Msanii Tekno wa Nigeria na ikawa kweli!
Просмотров 1,1 тыс.4 часа назад
AY asimulia ambavyo alimtabiria makubwa Msanii Tekno wa Nigeria na ikawa kweli!
AY afichua siri ya kipaji chake cha Uchekeshaji!
Просмотров 8994 часа назад
AY afichua siri ya kipaji chake cha Uchekeshaji!
"Licha ya Ukubwa wake, A.Y havimbi na anaheshimu Wasanii wachanga!" _Producer Sky
Просмотров 4714 часа назад
"Licha ya Ukubwa wake, A.Y havimbi na anaheshimu Wasanii wachanga!" _Producer Sky
A.Y ampa Marioo maua yake! | "Sio kila msanii naweza kufanya nae wimbo! Hata kama ni Washkaji zangu"
Просмотров 2 тыс.4 часа назад
A.Y ampa Marioo maua yake! | "Sio kila msanii naweza kufanya nae wimbo! Hata kama ni Washkaji zangu"
Huyu hapa Producer aliyetengeneza YULE Remix ya A.Y na Marioo! Asimulia kila kitu!
Просмотров 5834 часа назад
Huyu hapa Producer aliyetengeneza YULE Remix ya A.Y na Marioo! Asimulia kila kitu!
Uchambuzi wa Bajeti Kuu ya Serikali na Wataalam wa Uhasibu PKF Tanzania
Просмотров 2507 часов назад
Wataalam wa kampuni ya ukaguzi mahesabu ya KPF Tanzania wakiichambua Bajeti Kuu ya Serikali iliyosomwa na Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba #Clouds360
Mtoto wa Marioo na Paula atangaziwa Offer ya mtoko wa Sikukuu ya Eid el Hadj
Просмотров 7837 часов назад
Mtoto wa Marioo na Paula atangaziwa Offer ya mtoko wa Sikukuu ya Eid el Hadj
MBOSSO, YAMMY KWENYE MAHABA MAZITO?, ZUCHU, DIAMOND WATHIBITISHA
Просмотров 25 тыс.9 часов назад
MBOSSO, YAMMY KWENYE MAHABA MAZITO?, ZUCHU, DIAMOND WATHIBITISHA
HARMONIZE, RAYVANNY KUWASUMBUA KICHWA DIAMOND PLATNUMZ, ALI KIBA, WATANGAZA BALAA
Просмотров 35 тыс.9 часов назад
HARMONIZE, RAYVANNY KUWASUMBUA KICHWA DIAMOND PLATNUMZ, ALI KIBA, WATANGAZA BALAA
Mangungu: "Hatuna Fikra ya Mwekezaji Mwingine | Mo Dewji Tunae Kwa Sasa"
Просмотров 6 тыс.9 часов назад
Mangungu: "Hatuna Fikra ya Mwekezaji Mwingine | Mo Dewji Tunae Kwa Sasa"
Mangungu: "Issa Masoud Hana Mamlaka ya Kuitisha Mkutano | Ni Mchochezi"
Просмотров 16 тыс.9 часов назад
Mangungu: "Issa Masoud Hana Mamlaka ya Kuitisha Mkutano | Ni Mchochezi"
Mangungu Awataja Wasaliti Wa Simba | Alikana Tawi la VIP
Просмотров 60 тыс.9 часов назад
Mangungu Awataja Wasaliti Wa Simba | Alikana Tawi la VIP
Mangugu: "Ni Kweli Simba Tunapitia Kipindi Kigumu | Nitakaa na Mo Dewji Tuyajenge"
Просмотров 1,1 тыс.9 часов назад
Mangugu: "Ni Kweli Simba Tunapitia Kipindi Kigumu | Nitakaa na Mo Dewji Tuyajenge"
Mavunde Azinduwa Madini Vision 2030 I Imeundwa na Wataalamu 14 I Pato la Taifa Kuongezeka I
Просмотров 6612 часов назад
Mavunde Azinduwa Madini Vision 2030 I Imeundwa na Wataalamu 14 I Pato la Taifa Kuongezeka I
SALMIN SWAGGZ: WASANII WAKUBWA WANAMTONGOZA BRANDY, ANAFUTA INSTA YAKE, HASHIKI SIMU YANGU
Просмотров 56512 часов назад
SALMIN SWAGGZ: WASANII WAKUBWA WANAMTONGOZA BRANDY, ANAFUTA INSTA YAKE, HASHIKI SIMU YANGU
TPA yavunja rekodi ya gawio la 153.9Bln | TPA imefanya uwekezaji kwa kuboresha miundombinu
Просмотров 22312 часов назад
TPA yavunja rekodi ya gawio la 153.9Bln | TPA imefanya uwekezaji kwa kuboresha miundombinu
SKY (FREDRICK BUNDALA): AWAFUNGUA MASIKIO HARMONIZE, RAYVANNY, ''ITAWASAIDIA KIBIASHARA''
Просмотров 2,7 тыс.12 часов назад
SKY (FREDRICK BUNDALA): AWAFUNGUA MASIKIO HARMONIZE, RAYVANNY, ''ITAWASAIDIA KIBIASHARA''
NAY WA MITEGO, ED SHEERAN BABA YAO MMOJA, HIZI NI TABIA WAMBAZO WANAFANANA
Просмотров 10 тыс.12 часов назад
NAY WA MITEGO, ED SHEERAN BABA YAO MMOJA, HIZI NI TABIA WAMBAZO WANAFANANA
RIHANA, ZUCHU WATANGAZA KUKAMILISHA ALBUM ZAO, AZINDUA PRODUCT YA NYWELE
Просмотров 51812 часов назад
RIHANA, ZUCHU WATANGAZA KUKAMILISHA ALBUM ZAO, AZINDUA PRODUCT YA NYWELE
Mapya Yaibuka Baada Mwenyekiti wa Bodi salim tryagain Kujiuzulu | Mo Dewji Afunguka Mazito
Просмотров 23812 часов назад
Mapya Yaibuka Baada Mwenyekiti wa Bodi salim tryagain Kujiuzulu | Mo Dewji Afunguka Mazito
SHEKHE KIPOOZEO ATOA YA MOYONI KUHUSU TWITTER, AIOMBA SERIKALI KUUFUTA TANZANIA
Просмотров 19514 часов назад
SHEKHE KIPOOZEO ATOA YA MOYONI KUHUSU TWITTER, AIOMBA SERIKALI KUUFUTA TANZANIA
MWANAHARAKATI ALPHONCE PATRICK MUTINGA AUNGANA NA MWENYEKITI UVCCM KUIKATAA TWITTER
Просмотров 3814 часов назад
MWANAHARAKATI ALPHONCE PATRICK MUTINGA AUNGANA NA MWENYEKITI UVCCM KUIKATAA TWITTER
NI BALAA SASA, CHINNO KIDD AMVUTA RICH MAVOKO STUDIO, AATANGAZA KUKIWASHA STAILI HII
Просмотров 3,2 тыс.14 часов назад
NI BALAA SASA, CHINNO KIDD AMVUTA RICH MAVOKO STUDIO, AATANGAZA KUKIWASHA STAILI HII
BEKA FLAVOUR, HAPPY WAFUNGUKA WAZAZI KUUSUSIA UCHUMBA WAO, JE KUNA NDOA
Просмотров 9614 часов назад
BEKA FLAVOUR, HAPPY WAFUNGUKA WAZAZI KUUSUSIA UCHUMBA WAO, JE KUNA NDOA
MWENYEKITI UVCCM AITAKA SERIKALI YA TZ KUUFUNGIA MTANDAO WA TWITTER NCHINI
Просмотров 13614 часов назад
MWENYEKITI UVCCM AITAKA SERIKALI YA TZ KUUFUNGIA MTANDAO WA TWITTER NCHINI
MSAMIATI MWANAFYALE AZAMA KWENYE PENZI ZITO LA SETFIBBY, ''SIAMBILIKI KWAKE''
Просмотров 25914 часов назад
MSAMIATI MWANAFYALE AZAMA KWENYE PENZI ZITO LA SETFIBBY, ''SIAMBILIKI KWAKE''

Комментарии

  • @shadrackkibona7178
    @shadrackkibona7178 16 минут назад

    Mangungo aondoke tu

  • @walterkisaro-9168
    @walterkisaro-9168 22 минуты назад

    Alipee

  • @dokasalim943
    @dokasalim943 30 минут назад

    Huyu Dj Alofanikisha hii event jina lake nani maana duh ni Moto huyo dj 🔥🔥🔥🔥🔥🙌😂

  • @tizomelele4424
    @tizomelele4424 35 минут назад

    Usicheze na wasomi aisee mtu akikaa kimya na mambo yake mwache..

  • @stamillusatila9084
    @stamillusatila9084 Час назад

    Nimelia sana kwakweli 😢😢

  • @babubabz4507
    @babubabz4507 Час назад

    Kwani ni urongo kma alitangaza pombe ni haramu kwa muislamu sasa wataka 5b kisha ndio uwe nani utakufa uziwache tuu hapa kma ameomba msamaha msamehe yaishe tuu

  • @annastevensteven9515
    @annastevensteven9515 2 часа назад

    Uwo kijan.mbon.amchangamkii mama.yak

  • @user-sr8qj8in5o
    @user-sr8qj8in5o 2 часа назад

    Israel ikiamua kutumia 'The Samson Option' dunia itaisha.Wakiona wamelemewa,basi watamkumbuka Yule Samson na Delilah.Ogopa Israel!

  • @user-mb8zt1jz5q
    @user-mb8zt1jz5q 2 часа назад

    Tanga hate wapati clouds wik ya pil

  • @MudyKabezi
    @MudyKabezi 2 часа назад

    Jamni mwijaku mdomo umekuzidi

  • @user-cj8yz4gk4u
    @user-cj8yz4gk4u 3 часа назад

    Mchungaji kataja team yake ,sasa wengine wasioate team,au naye alitaja abilities nafasi. Mwanasiasa unayejiamini acha iende iko siku nyingine haki yako itakurudia.Cheo nni dhamana tu

  • @gladnesskweka9699
    @gladnesskweka9699 3 часа назад

    Huyu mama dunia ilimbeba na saiz kiza kishaingia hadi anaona aibu

  • @user-cj8yz4gk4u
    @user-cj8yz4gk4u 3 часа назад

    Mimi namshangaa mchungaji eti kuwa hajui au haelewi kuwa haki hajawahi kusimamiwa ndani ya CHADEMA ,tunaijua chadema miaka 10+.Watu wanamiliki nafasi n hata kutengeneza vurugu dhidi ya wenzao.Katiba ya Chama inakataza kudai haki ktk vyombo vya haki,kwa adhabu ya kufukuzwa Chama. 16:14

  • @richardsalim1042
    @richardsalim1042 3 часа назад

    Akibaki na wengine warudi.

  • @user-hd2ez7dp2j
    @user-hd2ez7dp2j 3 часа назад

    Hmmm uwezi juaa Jamani..siri anajua mwijakuu ...uwezi juaa😊

  • @josephinekokushubila1050
    @josephinekokushubila1050 3 часа назад

    Mungu awalipe team clouds

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 3 часа назад

    Mbon hawafuniki kichwa kwan wa din gan wakirsto eeh

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 3 часа назад

    Kumbe hata uliambiw anapo mam ako lakin hukwenda huko duuh

  • @tonybrighter3878
    @tonybrighter3878 3 часа назад

    Kesi iende Mahakamani Mwijaku Ndio ata elewa kuwa kesi ni moja ya Vitu vibaya Sana. Huwezi tu kuamka kwa Mkeo ukaanza Ropoka Shit kwa Mtu

  • @user-qb1jv2dy2d
    @user-qb1jv2dy2d 3 часа назад

    Nafikiri safari hii itamfanya mwijaku ajielewe.

  • @user-lz1lj9qg8e
    @user-lz1lj9qg8e 4 часа назад

    Yaan kiongozi unatakiwa kuonyesha dira yake ipi sio kushutumu watu nikuficha mapungufu na madhaifu

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 4 часа назад

    Kumbe wanachukuw pesa alfu wanajifanya wanasaidia watuy

  • @user-ib5xs2zw9i
    @user-ib5xs2zw9i 4 часа назад

    Akitoa izo hela ndo atakoma kulopoka ujinga wake tn wamfunge uyo

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 4 часа назад

    Pole san mam

  • @tumainihilary6839
    @tumainihilary6839 5 часов назад

    Matangazo ni mengi sanaah

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 5 часов назад

    Bilioni 10, 5, 6 bado ni kidogo

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 5 часов назад

    Jahazi wako vizuri kwenye mastory ya town.

  • @athumanmarekano2454
    @athumanmarekano2454 5 часов назад

    Ivi nyie Wana Sheria mnaotutangazi fidia ya mabillion ambayo kualisia tu unajua huyu mtu Hana ivi iki kitendo kinaaakili sawasawa kweli au ndio umaarufu pia mpaka mwanashelia unatoka mtandaoni na kutueleza kesi ya watu wawili sio kujitangaza

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 5 часов назад

    Duuuuh Juzi Juzi hapo kamuonya sn baba levo kama hata kuwa makini atakuja kufungwa kwa Tabia zake hizo haya Sasa kayakanyaga Leo Hilo ndio hatariiii sn masoud eti no kijana wake wakati masoud yupo town 1987 anaiwakilisha jamiii yake kupitia taaluma yake Sasa hapo kayakanyaga 🙌🙌🙌

  • @chumamakengo7012
    @chumamakengo7012 5 часов назад

    Ni uongo,deni la Taifa ni kitu kimoja na deni la Serikali! Wamombo huita deni la serikali National debt/sovereignty debt/government debt/public debt! Deni la Serikali/deni la taifa ni jumla ya fedha zote ambazo serikali hudaiwa. Wakopeshaji ni wananchi wa nchi husika na/au wakopeshaji wa nje ya nchi. Mikopo hii hulipwa kwa fedha za wananchi (walipa kodi). Serikali hukopa ili kuziba pungufu ya bajeti ya taifa. Serikali hukopa ili kuboresha maisha ya wananchi wake katika pembe zote za maisha, yaani kiuchumi, kijamii, kitamaduni, na kisiasa. Pia wanapaswa kufahamisha umma iwapo deni la taifa linahimilika! Uwiano kati ya Deni la Taifa na Pato la Taifa unadhihirisha nini? 🤔 Je, miradi ambayo mikopo hiyo inakwenda kutekeleza ni ya kimkakati kiasi kwamba Marginal returns > Marginal cost of the debts? Ili tupige hatua kiuchumi ni lazima nafasi za uongozi zishikwe na watu WALIOTHIBITIKA kuwa na UWEZO na UADILIFU! yaani wamombo huita mfumo huu MERITOCRACY....wenzetu Rwanda na Botswana angalau wameanza kutumia mfumo huu

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 5 часов назад

    Hivi Cypirian Musiba aliendaga wapi tena, maana yule alikuwa chawa wa Magu, hapa kuna watu wanadai Mwijaku ni Kizimkazi timu, wanashindwa kujiuliza leo hii Musiba yupo wapi? Alitukana watu wa heshima sana nchi hii! Leo hii sijui kajificha kwenye shimo gani

  • @nyakatongongo4292
    @nyakatongongo4292 5 часов назад

    Mzee Taji nakuembea Mungu akubarikie na hitaji la moyo wako

  • @nyakatongongo4292
    @nyakatongongo4292 6 часов назад

    Namejifunza kitu kwa baba mdogo🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦

  • @nyakatongongo4292
    @nyakatongongo4292 6 часов назад

    Baba mdogo ubarikiwe🇿🇦🇿🇦🇿🇦🧁

  • @athumankaswaga605
    @athumankaswaga605 6 часов назад

    Nahofia usalama wako sizani kama wana ccm watakukuacha salama.

  • @user-bo5qp9gz8m
    @user-bo5qp9gz8m 7 часов назад

    Mama waziri honge sana kwa kumpata wifi mwenye hofu ya Mungu ubarikiwe shangazi uishi miaka mingi ❤❤❤❤❤

  • @user-lz6kh7xj2v
    @user-lz6kh7xj2v 7 часов назад

    Kwa wiki naitazama mara 3

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 7 часов назад

    #Ukubwani

  • @user-uf7oh5eu4v
    @user-uf7oh5eu4v 8 часов назад

    Mwijaku mimi ni shabiki yako ila kwa hili umezingua pakubwa SANA umemkosea sana bro masoud na umeishusha brand yake .we nenda tu mahakamani

  • @user-uf7oh5eu4v
    @user-uf7oh5eu4v 8 часов назад

    Kaishusha brand ya masoud kP daaah ameongea maneno mazito sana

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
    @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 8 часов назад

    Nimelia kwakweli

  • @franciskobelo
    @franciskobelo 8 часов назад

    Mdomo jamani uponza kichwa tujifunze🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @MohammedyMohammedy-mi2vh
    @MohammedyMohammedy-mi2vh 8 часов назад

    sasa lile ghorofa 😂😂 si litauzwa

  • @mussamwamzuka-zq3om
    @mussamwamzuka-zq3om 8 часов назад

    mwijaku akuna chochote atafanywa izo ni kelele za panya buku 2 mwijaku ni mpumbavu kwl bt akuna ki2 atafanywa na akuna pesa yyte ata lipa na iyo story itaishia ivyo

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 6 часов назад

      Wewe si mbuzi mwenzie, jipeni moyo tu nyau nyie

  • @AllyHamadi-iq7jx
    @AllyHamadi-iq7jx 8 часов назад

    Hii inauma sana

  • @user-vv9wb9he2x
    @user-vv9wb9he2x 9 часов назад

    Unang'ang'ania Nini achia ngazi hatukutaki

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 10 часов назад

    MWijaku amekuwa na tabia ya kuchafua sana watu ona amemvunjia heshima mwenzake kuanzia taifa mpk kwenye ukoo.BOra achukuliwe hatua kali kabisa ili iwe fundisho na kwa watu wengine wenye tabia kama hiyo.

  • @bakarichina9948
    @bakarichina9948 10 часов назад

    Sasa iyo fidia c atauza gorofa lake mtamtia umaskini,oky akishauza ilo gorofa ajemkulanga tumtafutie viwanja vya million moja na laki tano,Daah

  • @maikopatson4833
    @maikopatson4833 10 часов назад

    Jamaa muoga sana wa Maisha,, HAJIAMINI kwa level ya juu sana. Alichifanyiwa hakivumiliki..amedhalilishwa na Konde pia na Poshy. Ila ana hofu maisha yatamchapa hivyo anajitahidi kujidai yupo sawa.. ili aonewe huruma ikitokea nafasi KONDE

  • @godsonprosper6657
    @godsonprosper6657 10 часов назад

    Huyo ndiye mtawala wa Dunia nzima